Monday, July 9, 2012

UJANA NI MAUA

NENO LA LEO:  Ayubu 14:1-2
“Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile UA, kisha hukatwa; hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe”
TAFAKARI:
Rafiki! Leo tunatafakari juu ya UA, wote tunajua kuwa UA LIKICHANUA KINACHOFUATA NI KUNYAUKA, na Jambo la kuvutia zaidi ni kuona linavyopendeza na kuvutia, mbali na wanadamu kupenda MAUA, hata wadudu pia utakuta wamejazana.
Maisha ya Mwanadamu ndivyo yalivyo, kama UA linavyonyauka ghafla ndivyo maisha yanavyokatika, kumbuka sisi sote ni marehemu watarajiwa wasiojua muda wa kifo.
Vijana! Mwisho wa UA kuchanua ni kunyauka, wengi huutumia wakati huo vibaya, HAWATULII, Utakuta Binti mzuri eti anajirusha na Libaba ambalo halina Mpango wa kumuoa ili mradi ana Vijisenti – Hao ni WADUDU WAHARIBIFU. Tunaona baadhi ya MAUA yanavyoharibiwa na wadudu waharibifu, yanatobolewa na kuchafuliwa, ndivyo vijana WANAVYOPOTEZEWA DIRA YA MAISHA. Akili zikiwarudia na kutaka Kuolewa au kuoa wanajikuta wamechelewa – UMRI WA KUCHANUA UMEPITA, hata wakitumia MAKE UP, hazisaidii, wadudu wote wamekimbilia maua mengine yanayochanua.
Vijana! Habari za ku “PASS TIME” na vija wenzenu kwa maisha ya Ngono, Ulevi, Muziki n.k. yanawapotezea DIRA ya Maisha, tumeshuhudia wengi wanasukumwa na TAMAA, na  Wengi wanatumika kama VYOMBO vya kukidhi tama za wengine, mwisho wake ni kuachwa kwenye Mataa. MAISHA YOYOTE YA DHAMBI NI TANZI YA UHARIBIFU.
VIJANA WENGI WANAJUTIA KWA YALIYOPITA NA WENGINE NDIO WAMEZAMA.
SULUHISHO NI KUMTEGEMEA MUNGU – KWAKE YOTE YANAWEZEKANA

NAWATAKIA SIKU NJEMA NA WEEK END NJEMA YENYE BARAKA TELE
Ev. Eliezer Mwangosi

5 comments:

  1. Usichoke kutuelimisha mungu akubaliki
    Kwakutumia kipaji chako chakutuelimisha kwanjia ya maandish
    Umefanya vyema kwasababu kwa njia hii kamwe ujumbe hauwez kupotea au kupitwa nawakati
    GOD Bless You��

    ReplyDelete
  2. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159 dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete